Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 22 August 2013

DIAMOND KULA MKWANJA MREFU KWA KUFANYA COLLABO KENYA

Mshindi wa tuzo ya mwimbaji bora wa Gospel nchini Kenya, Willy Paul ametangaza kupiga kolabo na msanii mwenye kukamata headlines kila uchao Bongo na nje ya Tanzania, Diamond Platinumz! Willy alikutana na Diamond katika concert moja iliyohappen huko Nairobi Ijumaa iliyopita.

"Diamond alivutiwa sana na kazi zangu kama mimi kwa kazi zake. Nafahamu anachaji pesa so nitamsikiliza anahitaji kiasi gani na nipo radhi kumpa mkwanja autakao". 


.


No comments:

Post a Comment