Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 13 April 2013

P-SQUARE WATOA ONYO!

Kupitia internet biashara kwa wasanii huko Naija imekuwa ngumu sana baada ya kujitokeza makundi ya watu kadhaa wakifanya wao ni mapromota hivyo kuchukua advance za wasanii mbalimbali huku wasanii wenyewe wakiwa hawajui lolote! Mwaka jana kuna mtu alilamba dola 100,000/= kupitia twitter na facebook kwa kudai kuwa yeye ni promota wa kundi la P-Square nchini Ufaransa.

P-Square wametoa onyo kwa wale watakaotaka kuingia nao mikataba ya show kwa kuwa makini na watu hawa katika mitandao hii ya kijamii! Kupitia akaunti yake ya twitter, Peter Okoye alitoa onyo kwa kuandika:
  

Kwa sasa P-Square ndio wasanii wanaolipwa mkwanja mrefu zaidi nchini Nigeria kwa kuchaji dola 150,000/= kwa shows za kimataifa na Naila milioni 10 kwa shows za nyumbani kwao Nigeria!


No comments:

Post a Comment