Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 12 April 2013

AKON AMPONGEZA KENYATTA, AKOSOLEWA!

Baada ya kuapishwa na kuwa raisi kamili, pongezi mbalimbali zimekuwa zikitolewa na mmoja wa watu maarufu ambao hawakuwa nyuma kusifia jinsi mchakato mzima wa uchaguzi ulivyokwenda kwa amani na utulivu mpaka kupatikana kwa raisi Uhuru Kenyatta ni Akon. Baada ya hapo sasa zikatoka comments mbalimbali katika fanpage yake ambazo Akon alizipotezea lakini hii hakuiacha iende hivihivi.


Mmoja wa commenters aliandika hivi, "Huyu (Kenyatta) ni mwizi kama baba yake. Aliiba ardhi na kabila lake tu ndilo lililompigia kura. Kwa sasa ana kesi katika mahakama ya kimataifa na naamini watamtia hatiani. Kwanini (Akon) umpongeze?????"

Ndipo Akon akajibu, "Ndio maana Africa haiwezi kusonga mbele. Tunapoteza muda mwingi katika vitu visivyo na maana. Nimempongeza kwa kufanya uchaguzi kwa njia ya amani! Hii ni hatua kubwa kwa Afrika. Kama kuna lolote baya alilolifanya hapo nyuma ni yeye (Kenyatta) ataenda kujibu kwa Mungu. Sasa kwa kwanini ujiumize kichwa? Sisi sio watu wa kumjaji!"




No comments:

Post a Comment