Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 5 March 2013

JUSTIN BIEBER KAMA MZALAMU VILE!

Justin Bieber amewaomba radhi mashabiki wake kwa kuchelewa kupafomu katika show yake huko London kwa dakika 40, jana usiku!


Mashabiki wengi vijana, watoto pamoja na wazazi wao waliondoka ukumbini O2 Arena wakiwa wamejawa na hasira na gadhabu kwa kutomwona JB! Bierber alijitetea baadae kuwa alichelewa kupiga show kutokana na matatizo ya kiufundi na hajachelewa kuanza show kwa masaa 2 kama ilivyodaiwa!
Viti vingi vikiwa tupu baada ya kundi kubwa la mashabiki wa Bieber kuondoka







No comments:

Post a Comment