Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 16 February 2013

KIM KARDASHIAN ATUA NIGERIA, AUZA MJENGO WAKE!


The reality Tv star Kim Kardashian ametua nchini Nigeria saa moja lililopita. Kim K anayetarajia mtoto wake wa kwanza na rapper Kanye West yupo Nigeria kwa ajili ya ku co-host concert iitwayo ‘Love Like A Movie” ya Darey Art Alade, itakayofanyika kesho tarehe 17 February huko Eko Hotel Convention Center.


Kim alitua airport akiwa na bodyguard wake pamoja na makeup artiste
Wakati huohuo Kim ameuza mjengo wake uliomgharimu dola milioni 4.8 aliununua mwaka 2010. Inasemekana ameuuza kwa chini ya bei hiyo pamoja na samani za ndani kama makochi. Mjengo aliouuza alikuwa akiutumia yeye na x-boy friend wake, Kris Humphrey! 




Nje mpaka ndani ya mjengo alioupiga bei KK

No comments:

Post a Comment