Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 16 February 2013

DRAKE AZUIWA KUINGIA CLUB SABABU YA CHRIS BROWN!


Chris Brown na Drake sasa hawapikiki chungu kimoja! Usiku wa Jumatano Drake alizuiwa kuingia club moja sababu Chris Brown alikuwa tayari ndani!

Mabaunsa waliokuwa mlangoni klabuni Playhouse huko Hollywood walimkatalia katakata Drake kuzama ndani kula bata na wanae vile CB alikuwa tayari akila bata na washkaji zake katika party ya kampuni ya mavazi ya ‘Popular Demand’.
 
Mabaunsa walijuafika kuwa kama Drake angeingia ndani basi pengine kingetokea kilekile kilichotoka W.i.P. nightclub. Unakikumbuka? Majamaa walitupiana vyupa sana na kusababisa uharibika wakutosha!

Ki-gentleman, Drake alisepa zake kimyakimya bila kubishi!


No comments:

Post a Comment