Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 16 February 2013

EXCLUSIVE: MUME WA GOLDIE AIBUKA, AMPIGA BITI PREZZO!


Nobody knew bout this! Kumbe Goldie Harvey, mshiriki wa BBA stargame alikuwa ameolewa kabla hajafa! Andrew Harvey, raia wa Uingereza ameibuka na picha zote za harusi yao waliofunga kwa siri nyingine kibao wakati wakila bata pamoja.

Andrew na Goldie Harvey
Andrew na Goldie Harvey batani.
Andrew Harvey ameongeza kuwa yeye na Goldie walikuwa bado katika mahusiano na mawasiliano mazuri mpaka umauti ulipomfika. Andrew alikutana na Goldie katika party ya rafiki yake huko Lagos. Ndipo mfanyabiashara huyo wa mafuta akafunga ndoa na Goldie, December, 2005. Pia Andrew amekana marehemu Goldie kuhusishwa na matumizi yaliopitiliza ya madawa ya kulevya kuwa ndio moja ya sababu za kifo chake!


Upande mwingine pia Andrew Harvey alimpiga biti Prezzo na kumtaka kutojihusisha kabisa na maswala yoyote ya Goldie. Prezzo na Goldie walikuwa wakutane Lagos tarehe 15 February kwa ajili ya kusherehekea Valentine’s. 

Prezzo na Goldie mjengoni BBA



No comments:

Post a Comment