Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 10 January 2013

MTAMBO WA KUZALISHA MASUPERSTAR TANZANIA



Kutana na Mtambo wa kuzalisha ma superstar kwa jina anaitwa :-
LOVENESS HOYANGE





Moja  ya wadada wastaarabu Tanzania, ukisikia jina kama vile
Genevive Mpangala
(former Miss Tanzania 2010)




Angela Lubala
(former Redd’s Ambasador 2008)


Irene Uwoya,




Silvia Bahame,
(former Miss Tanzania 2002)




 Queen David,
(former Miss Temeke 2007)


 Jokate Mwegelo,
(former Miss Temeke 2006)


 basi ujue kuna mkono wake.
Dada huyu ambae alikuwa wakala wa Ms Tanzania katika miaka ya 2003 – 2006 alifanikiwa kuzalisha masuperstar kibao ambao kwa sasa wanalead kwenye anga mbalimbali hapa Tz alileta chhangamoto kubwa kwenye Tasnia ya urembo haswa Miss Tanzania kwa kutafuta warembo bomba ambao walileta upinzani mkubwa kwenye Ms Tanzania kupitia kitongoji cha Kurasini kwani katika kipindi hicho Miss Kurasini ndio Miss Temeke
Huyo ndiye Loveness
Mtambo wa kuzalisha masuperstar

No comments:

Post a Comment