Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 13 October 2012

YOUNG JEEZY AZUNGUMZIA SABABU YA KUGOMBANA NA RICK ROSS KWENYE BET HIP HOP AWARDS 2012


Baada ya rapper Young Jeezy ku-release single yake ya "Get Right" mchizi alipata interview kwenye radio station ya  Power 106 Fm ambapo ndani yake alipata fursa ya kujibu swali aliloulizwa about beef yake na Rick Ross wa MMG iliyotokea backstage wakati wa BET Hip Hop Awards 2012.
Unajua ni nini alichokijibu..watch the video here

No comments:

Post a Comment