Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 8 August 2012

BARNABA'S NEW MANAGER

Kama wewe si mfuatiliaji wa burudani ya hapa nyumbani Tanzania then huna haja ya kutokumjua manager mpya wa artist wa chart-buster song ya "Magube Gube" aitwaye Hellen Kazimoto.
Well kama ulikuwa humjui ni kuwa licha ya umri wake mdogo Hellen aliwahi kupiga kazi mjengoni aka Clouds kama  Events/ Projects, Logistics coordinator ambayo aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Hellen kwa sasa ndiye anaemsimamia Barnaba anaetamba na his new single called "Sijutii Kwa Niliyempata" kwenye kazi zake zote za kisanii.
Tanzania Top Model hooked up with her ili kujua nini kilichomfanya akaamua kupiga chini kazi mjengoni na kuamua kuingia kwenye issue uya umeneja.
"Kikubwa kilichonifanya kuingia kwenye issue hii ni kupanua wigo wangu  wa kipato na kiukweli kuna tofauti ya kufanya kazi as mwajiriwa na kufanya kazi wewe kama wewe, so to me kufanya kazi zangu binafsi kunanipa uhuru zaidi"-Hellen ambaye pia anafanya kazi na kampuni ya South of A iitwayo 30 + Events ambayo ni kampuni dada wa Another Privilege ambazo zinadeal na outdoor events/projects pamoja na Club Fusion ambazo ni new clubs nchini.
"Ninatamani kuona Tanzania ikiwa na the so called msanii si msanii jina bali mwenye kila kitu kinachotakiwa kumfanya kuitwa msanii, kama kuwa na his/her own label  kama kina R Kelly, gym yake mwenyewe na vingine vingi ambavyo naamini kwa nguvu za Mungu na ushirikiano wa wadau wenye uelewa mpana wa mziki hapa nchini nitafanikiwa kuitimiza ndoto hii"-added Hellen ambaye anatarajia kumsimamia Joh Makini kwa siku za usoni.

No comments:

Post a Comment