Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Saturday, 16 November 2013
Friday, 15 November 2013
SALHA ISRAEL NA MAPOZI KWA POZI MBELE YA KAMERA
Tweerk ..twerk...twerk... baby....
salha Israel ambae ni matroni mpya wa washiriki wa Tanzania Top model 2013,hivyo tunategemea kuona experiance na skills za mdada huyu....endelea kufatilia shindano hili kupitia Tanzania Top Model blog na Unique Entertainment blog.
Thursday, 14 November 2013
SALHA ISRAEL ATEMBELEA KAMBI YA TANZANIA TOP MODEL 2013
Washiriki wakimsikiliza kwa makini Salha Israel wakati akiongea nao.
Washiriki wakiwa katika picha ya paoja na Salha israel.
Sahaa and friends.
Catwalk..one two..one two.
Wednesday, 13 November 2013
WASHIRIKI TOP MODEL WAFUNDWA NA REGINA MRONI
Regina
Mromi miss Ilala wa zamani akitoa semina fupi kuhusu namna
kuigiza,mrembo huyu wa zamani ambae yuko katika tasnia ya kuigiza
amewahakikishia washiriki hao kua baada ya kambi kuisha vipaji vya
waigizaji bora vinakua vimeiva tayari kuingia katika soko la ushindani.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Regina.POZI KWA POZI WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL MBELE YA KAMERA
Mila mshiriki toka Dar es salaa nae akionyesha
umwamba wa kupozi mbele ya kamera.
nANI KMFUNIKA MWENZAKE KWA POZI!?
Subscribe to:
Posts (Atom)