Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 9 October 2013

MCHEZAJI WA MAN UNITED NA ENGLAND KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Kwa muda wa siku 10, aliyekuwa mchezaji na kepteini wa Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza, Bryan Robson atapanda Mlima Kilimanjaro akiambatana na Kevin Moran na timu ya watu wa watu 25. 

Bryan Robson atapanda Mlima huu mrefu kuliko yote barani Afrika katika kuchangisha Mfuko wa Manchester United Foundation kwaajili ya watoto walemavu!

Bryan Robson anaumwa kansa ya koo kwa miaka miwili sasa.






TZ TOP MODEL: USAHILI DOM DODOMA







Monday, 9 September 2013

"MIKE TYSON AKARIBIA KUFA"

Mtupa makonde mashuhuri Ulimwenguni, Mike 'Iron' Tyson yupo katika hali mbaya kiafya. Hayo ameyatamka yeye mwenyewe akiwa katika shughuli ya ku-promote ESPN's Friday Night Fights huko Turning Stone Resort, New York Ijumaa iliyopita. 

Tyson alikaririwa akisema, "Wakati mwingine mimi ni mtu mbaya, nimefanya vitu vingi vibaya na nahitaji kusamehewa. nahitaji kubadilika. nataka kuishi maisha mazuri nikiwa timamu. Sitaji kufa, vile kwasasa niko hatarini kufa kwasababu siwezi ishi bila kutumia madawa ya kulevya au kilevi kikali chochote".

Mike Tyson alikwenda rehab mara tatu na angalau sasa hivi anaanza kuonyesha matumaini ya kupona toka katika matumizi ya madawa ya kulevya!