Mwana Muziki Machachari Rihanna haachi vituko kila kukicha na hiki ndicho kituko kipya
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Thursday, 15 August 2013
REDD'S MISS ILALA NI IJUMAA HII
Shindano la kumsaka mlimbwende wa Ilala litafanyika siku ya ijumaa tarehe 16/08/03 kuanzia saa 2 za usiku katika ukumbi Mpya na wa kisasa katika jengo la GOLDEN TOWER
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.
JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR
Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki!
Friday, 9 August 2013
MAJERUHI WA TINDIKALI ZANZIBAR HAWA HAPA
RAISI AWAFARIJI MAJERUHI AGA KHAN HOSPITAL
Kabla ya Tukio
Baada ya kumwagiwa Kitu kinacho zaniwa ni maji maji ya tindi kali
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dr J.M.Kikwete
akitoka Hospita AGA KHAN kuwajulia hali
Kabla ya Tukio
Baada ya kumwagiwa Kitu kinacho zaniwa ni maji maji ya tindi kali
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dr J.M.Kikwete
akitoka Hospita AGA KHAN kuwajulia hali
Friday, 26 July 2013
BUSTA RHYMES KUPAFOM KENYA
Sasa rasmi kuwa busta Rhymes a.k.a Trevor Taheim Smith Jr atatua Kenya kwa ajili ya kazi moja tu, nayo ni kuwarusha maraia wote wa 254. Hiyo itakuwa mwezi September, 2013. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Busta kuja Kenya na anatarajiwa kupagawawisha crowd litakalotokea kwa ngoma zake zilizotamba kama 'Twerk It' na Nicki Minaj, 'I Got What You Want' na Mariah Carrey, 'Look at Me Now' akiwa na Chris Brown, 'Touch It with the whole world' na ngoma nyingine lukuki!
Subscribe to:
Posts (Atom)













