Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday, 6 April 2013

VIMINI MARUFUKU UGANDA!

Serikali ya Uganda iko mbioni kupeleka muswaada bungeni ili kupitisha sheria itakayo kataza wakina dada na kina mama kuvaa nguo fupi, kama vimini. Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo jirani, Bw. Simon Likodo ametoa tamko hilo akisema kuwa mwanamke yeyote atayevaa nguo itakayoonyesha maeneo yake nyeti atakuwa amevunja sheria na ataadhibiwa.
Waziri huyu ambaye ni Padre wa zamami wa Kanisani aligusia pia suala la picha chafu za ngono na kusema, "Serikali itaweka system itakayotambua raia yupi kaingia kwenye mtandao upi na hivyo kumtambua ni nani kaangalia picha chafu, 'pornographic pictures'.

Hii inamaanisha kuwa hata wasanii kama Beyonce na Madonna watapigwa marufuku kuja Uganda. Pia luninga za Uganda hazitaruhusiwa kuonyesha picha chafu zenye kuonysha maungo ya mwanamke.

Adhabu kwa mwanamke atapatikana na hatia ya kuvaa nguo fupi atapigwa faini ya Shilingi za Kiganda milioni 10 sawa na pauni 2,500. Au miaka 10 jela! Waganda wengi wako kinyume na kupitia mitandao ya facebook na twitter wameendesha kampeni '#SaveMiniSkrt' inayolenga kupinga muswaada huu!


Thursday, 4 April 2013

CHRIS BROWN AJA NA AZONTO, AWAKERA WAGHANA!


Rihanna's boo Chris Brown amelikoroga! Ni baada ya jana kufanya interview moja na BET na kutangaza kuwa katika video yake mpya ya single, 'Fine China' atakayoitoa hivi karibuni itakuwa na dance yenye style ya Azonto. Na akakiri kuwa style hiyo alifundishwa na WizKid msanii toka Nigeria hivyo kuonekana kana kwamba style hiyo ni ya Wanigeria.
Hapo ndipo msala ulipoanza kwani Waghana wanahisi Chris Brown alikosea kwa kusema kuwa asili ya Azonto ni Nigeria. vymbo vya habari huko Ghana havikuwa nyuma katika hili kwani blog moja 'Ghana Celebrities’ aliandika,
"Chris Brown Talks About AZONTO On BET, But He Says The Dance Is A Nigerian Thing". Mtandao huo uliendelea kuandika, "It seems Chris Brown coming to Ghana and introducing Nigerian artiste-Wizkid on stage to do Azonto was not a mere mistake. In fact, Chris Brown thinks Azonto is a Nigerian thing. Probably he is taking the piss out of Ghanaians by failing to credit Ghana with the dance which has gained international recognition"

Kwa upande mwingine Chris Brown pengine hajui lolote kuhusu asili ya Azonto na kwa vile alifundishwa kucheza style hiyo na WizKid msanii toka Nigeria ndio maana Chris Brown anaihusisha Azonto na Nigeria na sio Ghana!

EXCLUSIVE: KANYE WEST & KIM KARDASHIAN WAMWAGANA!

Rapper Kanye West na The reality Tv show star Kim Kardashian wameripotiwa kuachana. Ingawa hakuna taarifa rasmi kutoka kwao lakini gigs has it kuwa mastaa hawa ambao kila kukicha hushika vichwa vya habari duniani si wapenzi tena.
Inasemekana mastaa hawa wanashindwa kutangaza kuachana wakihofia vyombo vya habari pia kuachana kwao kutaonekana kumetokea muda mfupi sana tangu waamshe penzi lao. Pia sababu nyingine inayowafunga mdomo ni mtoto wanayetarajia kumpata hivi karibuni! Sababu ya tatu Kanye anasubiri mpaka ali-release album yake mpya.
 
 

Tuesday, 2 April 2013

KWANZA FM YA LADY JAY DEE IPO NJIANI!

Nani kakwambia mtu mzima anatishiwa nyau? Maisha mipango. Huyu ndie ‘Anakonda’! Lady Jay Dee a.k.a Judith Habash mwenyewe ame-break tena the pieces of news kwamba kituo chake cha redio kipo karibu kufunguliwa! Oh my God!

“Kwanza FM coming soon. Yangu mwenyewee
— Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013

Huwezi kuanza mapambano km hujajizatiti, si utapigwa ufe? Vita ni pale tu unapokuwa tayari. Sikuwa tayari huko nyuma ndio maana sikuongea — Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013


Tweets hizi zimekuja baada ya kuishutumu The Super Brand Radio Station Clouds Fm kwa kile alichokiita ni kumbania kwa kupiga nyimbo za wasanii ambazo watu ama mashabiki hawazikubali ilihali bado kituo hicho kinajiita redio ya watu!

Anaconda

Monday, 1 April 2013

MAMBO 7 MWANAUME HUTAKIWI KUYATAMKA UKIWA NA MPENZI WAKO KITANDANI!

1. Kumzungumzia mpenzi wako aliyepita:
Kuzungumzia mapenzi yako yaliyopita juuya kitanda uiwa na menzi wako ni sumu kali. Mademu wote hawataki kusikia maongezi haya kwa vile tu atajiskia vibaya na wivu zaidi.

2. Kulitaja jina la mwanamke mwingine:
Kikawaida demu yoyote anajua kwamba ulikuwa na wakati mzuri na mademu zako waliopita lakini kila mwanamke anapenda kujisikia she is the only one in your heart. Hivyo kama ukijifanya kulitaja jina la demu mwingine on bed basi kuwa tayari kwa lolote hasa kuomba msamaha na kufanya lolote atakalokuamrisha ili mradi tu uthibitishe kuwa she is the most beautiful, sexiest and intelligent!

3. Kumnyamazisha:
“Shssss kaa kimya basii jamaniii” Unahitaji mchuchu akae kimya wakati umempeleka mwenyewe kileleni!? Acha zako. You have blown her mind already so mwache mtoto a-enjoy!

4. Kumlinganisha na demu wako aliyepita:
Mademu wote huhisi wako saw asana kitandani. So ukisema, “Wewe ni mtamu kama ex-girlfriend wangu”, mara moja utampotezea appetite ya ku-do na kumtengenezea mwaswali kadhaa likiwemo hili, “Unamfikiria yeye tu wakati una-do na mimi?”. Na“Ungependa kuwa naye muda huu badala yangu?”

5. Kujifanya una haraka:
Kumtonya mwanadada kuwa huna muda mwingi wa kukaa naye hivyo muda si mrefu utasepa, hii itamkata mood kabisa. So ni vizuri kama unataka kukaa na kuspend na mpenzi wako basi utenge muda wa kutosha naye.

6. Kwenda chooni hovyo:
Ni balaa. Kidogo tu mtoto wa kiume unafungua mlango wa chooni. Ni vyema kujipanga kwa kuhakikisha uko vizuri kimwili kwa offload haja zote kabla hamjaanza mambo yenu!

7. Kupokea simu kila wakati:
Kumbuka huu ni wakati wa faragha kati yako na mpenzi wako. Kama unahisi simu yako huita kila mara basi vyema ukaweka ‘silent’ ili mkishafanya yenu then uwacheki waliokuwa wakikutafuta na sio simu kuiacha ikilia na hivyo kukata stimu kabisa za mapenzi!