Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday, 4 March 2013

DRAKE AMWAGA MVUA YA DOLA CLUB!

Zaidi ya dolari 50,000 zilimwagwa kama mvua kwa mademu wacheza uchi, stippers na The Canadian born rapper Drake ndani ya Cameo Night Club huko Charlotte jana usiku! Drake alipomaliza mvua ya mkwanja huo floor nzima ilifunikwa kwa mihela hiyo ya Kimarekani.

Drake alizama club na mkwanja huo ukiwa ndani ya box moja kabla ya ku-make rain full of money.






Rapper mwingine Bleu Davinci aliendeleza mvua hiyo kwa kumwaga zaidi ya dola 25,000  




Thursday, 28 February 2013

SCHWARZENEGGER APATA DAKTARI WA MOYO WAKE!

Terminator, Arnold Schwarzenegger yuko katika mikono salama sasa. Ipo hivyo kwa sababu demu wake mpya ni daktari bingwa! Anaitwa Heather, na kwa mara ya kwanza walionekana katika dinner date huko Santa Monica!



Vyanzo vya udakuzi vinasema kuwa Heather sio dokta wa kawaida tu vile alishawatibu watu wazito mbalimbali akiwemo mkimbiaji maarufu, George St-Pierre. So haijajulikana kama Heather anamtibia Schwarzenegger na ni kwa ugonjwa upi! Infact she is not in the normal group of people who treat Governator, Schwarzenegger.

We smell romance.....

Wednesday, 27 February 2013

CIARA NA FUTURE MAMBO HADHARANI

Ciara na mpenzi wake mpya rapper Future wakiwa  Beverly Hills just for dinner date



They left together arm in arm after the romantic dinner date.

BEYONCE AJA NA KIATU CHA WANYAMA

Apart from music pia ni designer mkali wa mavazi. But this time around, Beyonce is taking shoe fashion to the next level. Jay Z’s wife anakuja na kiatu. Kiatu hiki kimetengenezwa kwa materials mbalimbali basically ngozi za wanyama.

PMZ au Perfectly Made Kicks ndio kampuni iliyolamba tenda yakutengeneza kiatu hicho. Ngozi za wanyama zilizotumika mpaka kukamilisha kiatu kimoja kutengenezwa ni pamoja na ngozi ya mbuni, mamba, ndama na anaconda.

Viatu hivi vimepewa jina “The King-Bey”  vimeshaidhinishwa na Beyonce mwenyewe tayari kuingizwa sokoni ingawa mpaka sasa hakuna bei yoyote iliyotangazwa kwa kila pair moja.Stay tuned!


Monday, 25 February 2013

GOLDIE HARVEY AZIKWA LEO!


Siku 10 baada ya kufariki dunia February 14 katika umri wa miaka 30, kutokana na hypertension masaa machache alipokuwa anarudi kutoka Los Angeles alipokwenda kushuhudia tuzo za Grammy Goldie Harvey amezikwa leo asubuhi katika makaburi ya Ikoyi.

 
Mazishi ya Goldie yalianza saa 4 asubuhi na kushuhudiwa na watu wachache wakiwemo familia, ndugu na marafiki wachache. Hakuna chombo chochote cha habari kilichoruhusiwa kuripoti tukio hili!

Andrew Harvey alihudhuria safari ya mwisho ya mke wake Goldie na alikuwa na ujumbe huu:-

"Susan, you walked into my life. It was like God sent you as fresh breath. I still remember your response to my first love message. You said, ‘Love killed Romeo, sent Diana to an early grave and killed Jack on the Titanic, forget about love, just have friendship and live long.
Over time our love grew a depth I have never known. You were the best years of my life, your smile, your desire to live your dream". 

Andrew Harvey




RIP SUSAN GOLDIE HARVEY