Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 9 January 2013

CHEKI KITUMBO CHA AMBER ROSE

Zimebaki wiki chache Amber aitwe mama, hata hivyo Amber Rose ashindwa kuvumilia kuonyesha tumbo lake pale siku zake za kujifungua zikiwa zinakaribia.
Mwanmke huyo wa miaka 29 aweka picha yake ya profile katika mtandao wa kijamii ujulikanao kama Twitter huku akiweka mikono yake juu ya tumbo lake.

 PICHA ALIYOPIGA HUKU MKONO UKIWA TUMBONNI

Katika picha nyingine aliyopiga, Amber alieleza kuwa ujauzito wake umemfanya atamani sana kula ikapelekea mpaka ku-share picha moja ya vitu anavyotamani sana kula.

PICHA ALIYO-SHARE IKIONYESHA VYAKULA ANAVYOTAMANI SANA KIPINDI HICHI CHA UJAUZITO

BEYONCE STILL HOT AND SEX

Mwanamke matata Beyonce ashangaza watu pale alipopiga picha akiwa amevaa ki top kifupi na nguo ya ndani (chupi) ya aina ya ngozi ya tyger akionyesha tumbo wazi. Ni mwaka mmoja tangu ajifungue mtoto wa kike lakini mbali na kujifungua huko bado yuko Hot and Sex kama alivyopiga picha katika cover ya Jarida lijulikanalo kama GQ kwa kujishaua na kuonyesha kuwa yeye ni mkali zaidi na mashabiki wengi kumkubali

PICHA ALIYOPIGA BEYONCE

Beyonce alijifungua mtoto wa kike mwaka uliopita (2012) akiwa na mumewe Jay-z

Tuesday, 8 January 2013

DAVID BECKHAM NA STYLE YA NYWELE

inasemekana kuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya uingereza David Beckham ndiye mwanamme wa kwanza na wa pekee aliyekuwa na style nyingi sana za nywele na watu wengi sana wa Uingereza walizipenda style zote alizokuwa akizitumia hakuna hata moja iliyowachukiza watu

PICHA TOFAUTI ZA DAVID BECKHAM ZIKIONYESHA STYLE TOFAUTI ZA NYWELE

MJAMZITO KIM NA KANYE WEST WANUNUA NYUMBA YAO YA KWANZA PAMOJA

Kim kardashian na Kanye West waonekana wakiandaa nyumba yao ya kwanza iliyoko California kwa pamoja kama maandalizi ya mtoto wao atakaezaliwa.
Inasemekana nyumba hiyo iligharimu  kiasi cha dola milioni 11

MUONEKANO WA NYUMBA KWA JUU

Monday, 7 January 2013

KIM NA KANYE WAKATAA OFA YA DOLA MILIONI TATU

Kim Kardashian na Boy friend wake Kanye west wanasemekana kukataa ofa ya dola milioni tatu (3) kwa picha za kipekee zitakazopigwa za mtoto wao ambae bado hajazaliwa kwa malengo ya kutabiri (prediction) kama mtoto huyo atafanana na nani? au atakuwa na labda pua ya Kanye West au Lips za Kim au vyovyote vile.
vyombo vingi vya habari vya magharibi vimekuwa vikiwania kupiga picha za kwanza kabisa pindi mtoto huyo atakapo zaliwa.



hata hivyo Joe Mullins ambae ni Forentic artist wa Marekani alizisoma picha za sasa za Kim na Kanye kisha kwa kutumia teknolojia ya sasa ya kompyuta akatabiri yafuatayo:-

uso wa mtoto wa kiume atakaezaliwa atarithi pua ya Kanye na shepu ya uso huku akiwa na mdomo kama wa mama yake ambae ni Kim.

MFANO WA PICHA YA MTOTO HUYO ANAETABIRIWA KUWA