Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Sunday, 17 November 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL WAANZA KUFUNDISHWA DANSI LEO

 Mwalimu wa dansi 'bad spencer' akitoa mafunzo kwa washiriki wa Tanzania Top Model 2013,mazoezi haya yameanza jioni ya leo na yataendelea kwa wiki tatu zijazo,dansi ya ufunguzi ni kitu muhimu kwa mashindano ya mitindo na urembo.
WAshiriki wakijaribu kumfatilia kwa vitendo mwalimu wao ambapo steps zilikuwa ngumu kidogo ila modoz wanajitaidi kumudu japo ilikuwa ni siku ya kwanza.
Ni step kwa step sambamba na mwalimu haina kupoteza point.
   Mwendo sebene sasa....watu weweeeeee..!!
mmmmh usiniguse mie..!!
 
 Mwalimu Bad spencer akitoa maelezo kwa kina washiriki wa Tanzania Top Model 2013 jinsi ya kutumia viungo vya mwili kutengeneza umbile la kitu kingine.
 
 
 
 
 
 
 
 Matroni'Zakia' akiwa amepozi kwa kiti.

Friday, 15 November 2013

SALHA ISRAEL NA MAPOZI KWA POZI MBELE YA KAMERA

 Salha Israel akiwa katika pozi tofauti mbelee ya kamera.
 
 
Tweerk ..twerk...twerk... baby....
 
 
 
salha Israel ambae ni matroni mpya wa washiriki wa Tanzania Top model 2013,hivyo tunategemea kuona experiance na skills za mdada huyu....endelea kufatilia shindano hili kupitia Tanzania Top Model blog na Unique Entertainment blog.

Thursday, 14 November 2013

SALHA ISRAEL ATEMBELEA KAMBI YA TANZANIA TOP MODEL 2013

 Salha israel mrembo alieng'ara miaka ya 2011 katika mashindano ya urembo nchini,akiongea na washiriki wa Tanzania Top Model 2013 namna ya kujiamini wakiwa katika jukwaa na kujibu maswali endapo watakabiliana na vyombo vya habari.


Washiriki wakimsikiliza kwa makini Salha Israel wakati akiongea nao.
 Washiriki wakiwa katika picha ya paoja na Salha israel.
 

   Salha Israel.
 Sahaa  and friends.
 Catwalk..one two..one two.

Wednesday, 13 November 2013

WASHIRIKI TOP MODEL WAFUNDWA NA REGINA MRONI

 
 Regina Mromi miss Ilala wa zamani akitoa semina fupi kuhusu namna kuigiza,mrembo huyu wa zamani ambae yuko katika tasnia ya kuigiza amewahakikishia washiriki hao kua baada ya kambi kuisha vipaji vya waigizaji bora vinakua vimeiva tayari kuingia katika soko la ushindani.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Regina.
 Washiriki wakisikiliza kwa makini semina hiyo fupi ilidumu takribani dakika 25 nadi ya uumbi wa .serengeti ball room katika hoteli ya Jb Belmont,jijini Dar.