Baada ya kufulia kimuziki achilia mbali maisha, star wa 'Kikulacho' toka nchini Tanzania aliamua kuhamishia shughuli zake za kimuziki nchini Kenya. Na huko Kenya alidaka dili la kusaini mkataba na GrandPa records na kufanikiwa kurekodi ngoma kadhaa. Miezi miwili sasa imeshapita toka alambe mchongo huo lakini hii leo the CEO wa kampuni GrandPa records, Refigah aliitisha press conference na kutangaza kumtema Mr. Nice.
Refigah alieleza sababu za kumwaga Mr. Nice ni pamoja na uzembe wa msanii, kutokuwa mshindani kimuziki na msanii mwenewe kutoheshimu mkataba huku ikisemekana kuwa kumbe Mr. Nice alikuwa na mkataba na record label nyingine huku Tanzania angali amesaini na GrandPa records.
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Wednesday, 5 June 2013
Wednesday, 29 May 2013
Friday, 24 May 2013
Thursday, 23 May 2013
ZITTO AMPOTEZEA DIVA!
Pamoja na Diva Loveness Love kutangaza kumpiga chini Mheshimiwa mbunge Zitto Kabwe na kuendelea kumsakama kwa maswali kadhaa na jumbe mbalimbali kupitia akaunti yake ya Instagram na mitandao mingine, lakini mheshiwa ameonyesha ustaarabu kwa kuamua kujikalia kimya bila kumjibu lolote bi-dada huyo.
Haya yote yamejitokeza hasa wakati huu ambapo The Romantic voice Clouds Fm presenter wa 'Ala za Roho' Diva amemdondokea msanii mwenye mkwanja mrefu toka area code 254, 'Kerewa' hitmaker Prezzo na kwa mujibu wa Diva ni kuwa penzi lao liko moto bati!
Haya yote yamejitokeza hasa wakati huu ambapo The Romantic voice Clouds Fm presenter wa 'Ala za Roho' Diva amemdondokea msanii mwenye mkwanja mrefu toka area code 254, 'Kerewa' hitmaker Prezzo na kwa mujibu wa Diva ni kuwa penzi lao liko moto bati!
Subscribe to:
Posts (Atom)




