Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday, 17 May 2013

MNYAMA AMPOTEZEA ANACONDA

TID a.k.a Mnyama amemtema au amemtolea nje Lady Jay Dee a.k.a anaconda kushiriki katika show yake ya kutimiza miaka 13 katika mziki pale Nyumbani Lounge mwishoni mwa mwezi huu. Hii inakuja baada ya Jay Dee kuingia katika mzozo mkubwa na Mkurugenzi utafiti wa redio binafsi, Clouds Fm, Ruge Mutahaba!
 
Katika kuthibitisha kwake kutoshiriki show hiyo, TID aliandika hivi katika ukurasa wake wa facebook:-
“Three reasons why I can’t do Lady Jay Dee Show….. No 1 I have better contract which pays me better than. No 2 I really don’t want to be between anybody’s conflict, ya kwangu yananishinda naona niepushe shari. No3 nataka kuoa muda wangu ndio huu………. Kama nimekukosea captein na madame kazeni but I have been tru the same shit”
 
TID anaungana na wasanii kama Linah, Barnaba na Matonya ambao walishatangaza hapo wali kuwa hawatashiriki kabisa katika show hiyo. Amebaki Professor Jay.
 
 

Thursday, 16 May 2013

D' BANJ ALA SAHANI MOJA NA BARNABA BOY

Wakati wasanii wa Kibongo wakihaha kutafuta michongo mbalimbali ya kuwaingiza mkwanja ikiwemo kupata haki sahihi ya umiliki wa ringtones zao na zaidi kupata mashavu ya kuwa mabalozi wa makampuni mbalimbali, huko kwa wenzetu hasa West Africa wameshapiga hatua kubwa sana katika hili.

Achilia mbali tuzo lukuki na hits anazozidondosha siku baada ya siku, neema zinaonekana bado kumdondokea artiste huyu kwani leo hii KokoMaster a.k.a D’ Banj alisaini mkataba wa kuwa balozi wa benki moja huko Naija iitwayo Bank of Industry.
Ms Evelyn Oputu, Managing Director & Chief Executive Officer of Bank of Industry na balozi D' Banj


 
Hapa Tanzania hii imekuwa hatua mpya sasa hasa kwa upande wa mabenki kuwachagua wasanii wazawa kuwa mabalozi wake na mfano hai tu ambao kidogo unaendaana na huo wa msanii kuwa balozi ni wa Barbana Boy kufanya kazi na benki ya Barclays Tanzania (japo Barnabas si balozi wa benki hiyo) lakini cha msingi ni lile dili tu kati yake na benki hiyo ambapo Barnabas ataingiza zaidi ya dola za Kimarekani 20,000/=kwa kuimba wimbo juu ya wanawake wa Kitanzania.



Tuesday, 14 May 2013

MZUNGU AWAFANYISHA NGONO WANAWAKE 11 NA MBWA WAKE

Kutoka Mombasa, Kenya mzungu mmoja aliyetambulika kwa jina la Christopher Clement Weisssenrieder  raia wa Switzeland  ametiwa mbaroni baada ya kuwafanyisha ngono wanawake 11 na mbwa wake na kuwarekodi.

Haya ndio majina yao ya wanawake hao:
  1. Janet Akoth Omollo,
  2. Mercy Waithera Karanja,
  3. Mary Nyambura Kimani,
  4. Magdaline Wairimu Chege,
  5. Celestine Nekesa Sitati
  6. Dorcus Melishah Indakwa
  7. Lydia Nyaboke Momanyi,
  8. Philidelia Mawia Solomon,
  9. Anne Wanjiku Gichuki


BEYONCE ANA UJAUZITO TENA!

Mtandao wa NY Post umeibuka na ripoti kuwa mke wa Jay Z, Beyonce anatarajia mtoto wa pili kwa kuwa sasa hivi ana ujauzito! Beyonce ambaye sasa hivi yupo katika tour ndefu ya kimuziki juzi akti alionekana kitumbo kimetokeza alipotupia kigauni akizungushia na mkanda kiunoni. Blogs mbalimbali pia zimetoa picha kadhaa zinazoonyesha vizuri eneo la tumbo la Bey kuwa sasa mabo yamejipa tayari kumpokea mtoto wa pili!


JAY Z KUPIGA SHOW DAR OCTOBA 4

Jay Z ametoa mlolongo wa shows zake atakazopiga kwa wiki 7 kuizunguka dunia kwa dhumuni la kuleta ufahamu juu ya tatizo la maji. Tour hii ndefu itaanza Septemba 9 huko Krakow, Poland. Jay Z atadondoka Dar na atagonga show hiyo tarehe 4 Octoba pale Diamond Jubilee. Na hii ndio list ndefu ya tour ya Jay Z:-


Sept. 9: Krakow, Poland (Coca-Cola SW Live Festival)
Sept. 10: Bratislava, Slovakia (Incheba)
Sept. 15: Amsterdam (Heineken Music Hall)
Sept. 16: Germany (TBA)
Sept. 18: Istanbul (Refresh the Venue)
Sept. 19: Athens (Olympic Arena)
Sept. 21: Manchester, England (Evening News Arena)
Sept. 22: Glasgow (SECC)
Sept. 23: Birmingham, England (National Indoor Arena)
Sept. 24: London (Wembley Arena)
Sept. 26: Dublin (the Point)
Sept. 27: London (Royal Albert Hall)
Sept. 29: Paris (Le Zenith)
Sept. 30: Milan (Fiera di Milano)
Oct. 2: Barcelona (Teatro Heineken)
Oct. 4: Dar es Salaam, Tanzania (Diamond Jubilee)
Oct. 6: Accra, Ghana (Accra Conference Center)
Oct. 7: Lagos, Nigeria (Ocean View)
Oct. 9: Luanda, Angola (Cine Karl Max)
Oct. 11: Cape Town, South Africa (Belleville Velodrome)
Oct. 13: Durban, South Africa (ABSA Stadium Outer Fields)
Oct. 14: Johannesburg (Coca Cola Dome)
Oct. 17: Hong Kong (TBA)
Oct. 18: Bangkok, Thailand (BEC Tero Hall)
Oct. 20: Seoul, Korea (Walker Hill Gayagum Concert Hall)
Oct. 21: Taipei, Taiwan (Taipei Dome)
Oct. 23: Singapore, Singapore (Suntec City Concert Hall)
Oct. 25: Sydney (Entertainment Centre)
Oct. 27: Brisbane, Australia (Entertainment Centre)
Oct. 28: Melbourne (Rod Laver Arena)