Jay Z ametoa mlolongo wa shows zake atakazopiga kwa wiki 7 kuizunguka dunia kwa dhumuni la kuleta ufahamu juu ya tatizo la maji. Tour hii ndefu itaanza Septemba 9 huko Krakow, Poland. Jay Z atadondoka Dar na atagonga show hiyo tarehe 4 Octoba pale Diamond Jubilee. Na hii ndio list ndefu ya tour ya Jay Z:-
Sept. 9: Krakow, Poland (Coca-Cola SW Live Festival)
Sept. 10: Bratislava, Slovakia (Incheba)
Sept. 15: Amsterdam (Heineken Music Hall)
Sept. 16: Germany (TBA)
Sept. 18: Istanbul (Refresh the Venue)
Sept. 19: Athens (Olympic Arena)
Sept. 21: Manchester, England (Evening News Arena)
Sept. 22: Glasgow (SECC)
Sept. 23: Birmingham, England (National Indoor Arena)
Sept. 24: London (Wembley Arena)
Sept. 26: Dublin (the Point)
Sept. 27: London (Royal Albert Hall)
Sept. 29: Paris (Le Zenith)
Sept. 30: Milan (Fiera di Milano)
Oct. 2: Barcelona (Teatro Heineken)
Oct. 4: Dar es Salaam, Tanzania (Diamond Jubilee)
Oct. 6: Accra, Ghana (Accra Conference Center)
Oct. 7: Lagos, Nigeria (Ocean View)
Oct. 9: Luanda, Angola (Cine Karl Max)
Oct. 11: Cape Town, South Africa (Belleville Velodrome)
Oct. 13: Durban, South Africa (ABSA Stadium Outer Fields)
Oct. 14: Johannesburg (Coca Cola Dome)
Oct. 17: Hong Kong (TBA)
Oct. 18: Bangkok, Thailand (BEC Tero Hall)
Oct. 20: Seoul, Korea (Walker Hill Gayagum Concert Hall)
Oct. 21: Taipei, Taiwan (Taipei Dome)
Oct. 23: Singapore, Singapore (Suntec City Concert Hall)
Oct. 25: Sydney (Entertainment Centre)
Oct. 27: Brisbane, Australia (Entertainment Centre)
Oct. 28: Melbourne (Rod Laver Arena)
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Tuesday, 14 May 2013
Thursday, 9 May 2013
LADY JAY DEE KUJIBU MAPIGO YA RUGE KESHO.
Kufuatia majibu ya Ruge Mutahaba kwa Lady Jay Dee hivi majuzi kupitia redio yake binafsi ya Clouds Fm 'Super Brand', kesho asubuhi katika kipindi cha Sunrise cha Times Fm 100.5 Lady Jay Dee a.k.a Anaconda atarudisha mapigo kwa kujibu maswali yote au hoja zote zilizowekwa mezani na Ruge. Zaidi ya hapo Jay Dee ameahidi kuibua mapya kabisa ambayo hajawahi kuyasema hapo kabla.
Wednesday, 8 May 2013
NICKI MINAJ APIGA PICHA UCHI KATIKA GAZETI!
US rapper and entertainer, Nicki Minaj alisaula nguo zote katika upigaji picha wa gazeti la KING huko USA. Haijafahamika ni kiasi gani cha mkwanja Minaj amevuta lakini it is to be a huge bundle of money!
JA RULE ATOKA JELA
Ja Rule alihukumiwa kwenda jela miaka 2 mnamo mwaka
2010 baada ya kukutwa na hatia ya kumiliki silaha bila kibali. Mwezi mmoja
baada ya kuanza kutumikia kifungo chake, mnamo June, 2011 alikutwa na hatia
nyingine ya kukwepa kulipa kodi na hapo ndipo akaongezewa miezi 28 jela!
Monday, 6 May 2013
PAUL WA P-SQUARE AKATAA MTOTO WA PILI!
Katika kipindi kisichopungua mwezi mmoja, Paul Okoye amepata mtoto wa pili, tarehe 11 April demu wake wa siku nyingi, Anita alijifungua mtoto wa kiume, Andre Paul Okoye. Na sasa kuna taarifa zinasema kuwa demu wake mwingine, Elshama Benson Igbanoi, 19, amejifungua mtoto wa kiume huko Queen Charlotte and Chelsea Hospital, London na kupewa jina la Michelle Paul Okoye.
Chakushangaza Paul amemkataa mtoto huyo huku akiahidi kutua London ili kufanya DNA test kabla ya kukubali wajibu wake kwa mtoto kama baba. Baba wa binti huyo, Mzee Igbanoi amesema kuwa ameshamtumia e-mails za kutosha Paul toka binti yake akiwa mjamzito mpaka anajifungua lakini Paul hajajibu lolote.
Kuona hivyo Familia ya Mzee Igbanoi imeshafanya utaratibu wa kuwasiliana na Baba na Shangazi wa Paul huku akikazia kuwa binti yake hajawahi kuwa na mwanaume mwingine isipokuwa msanii huyo Paul Okoye ambaye ndiye alimtoa bikira Elshama akiwa na umri wa miaka 17.
Mpaka sasa bado gharama za hospitali zinazozidi pauni 5,000 hazijalipwa na Elshama. Inasemekana kuwa Elshama ni rafiki pia wa Anita, msichana aliyemzalia huyuhuyu Paul Okoye mtoto wa kwanza tarehe 11 mwezi huu!
![]() |
| Michelle Paul Okoye |
Kuona hivyo Familia ya Mzee Igbanoi imeshafanya utaratibu wa kuwasiliana na Baba na Shangazi wa Paul huku akikazia kuwa binti yake hajawahi kuwa na mwanaume mwingine isipokuwa msanii huyo Paul Okoye ambaye ndiye alimtoa bikira Elshama akiwa na umri wa miaka 17.
![]() |
| Elshama |
![]() |
| Paul Okoye na mtoto wake wa kwanza, Andre Okoye |
Subscribe to:
Posts (Atom)







