Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday, 5 February 2013

DAVID BECKHAM AANZA RASMI BIASHARA, UFARANSA!

Inasemekana kuwa sasa mpira ni kazi ya pili ya Beckham, ya kwanza ni biashara, ziwe zake binafsi au zile zinamhusisha yeye na Paris Saint-Germain, PSG! Ni mtoko mpya wa biashara yake ya boxer kwa wanaume katika picha mbili alizotoa akionyesha samples za bidhaa zenyewe! 

Becks alisajili PSG kwa miezi 5 aliandika katika katika ukurasa wake wa facebook. Hizo picha ni sehemu ya mtoko wangu  (wa bixers) uitwao H&M, kaeni tayari kwa mengi zaidi wiki hii





DANCE MIA-MIA YA MAJUU!




Monday, 4 February 2013

MORE PICTURES OF BEYONCE'S SUPER BOWL SHOW




THE MULTI-MILLION SHOW YA BEYONCE, SUPER BOWL, HII HAPA!

Mamilioni ya watu walikuwa wame-switch on tv zao ili kuangalia show ya Beyonce, Super Bowl. Mrs Carter did not disappoint, alifanya kile kilichotarajiwa huku akipewa sapoti na Kelly Rowland pamoja na Michelle Williams, katika kukumbushia Destiny's Child. 
Beyonce
 Angalia hapa video ya dakika 12



Sunday, 3 February 2013

"MUHAMMAD ALI WA LEO AU KESHO"


“Bondia mkongwe duniani Muhammad Ali, 71,  atakufa wakati wowote ule”. Ni maneno ya kaka yake bondia huyo kutokana na hali aliyokuwa nayo. Inasemekana, Ali yu zofle hali, mahtuti kitandani! Rahman Ali ameongeza kuwa Ali haongei na hawezi kumtambua mtu yeyote. “Kama si miezi basi siku, Ali anaweza kututoka, tumwachie Mungu”, alisema Rahman.
Muhammad Ali
Rahman Ali
Muhammad Ali alipatikana  na ugonjwa wa Pakinson (kutetemeka mwili) mwaka 1984. Alionekana katika Olimpiki mwaka 1996 na mara ya mwisho 2012 huko London na alikuwa dhaifu mno kiasi cha kusaidiwa na mkewe kutembea. 
Rahman Ali anamtuhumu shemejie, mke wa Ali kwa kutoruhusu ndugu wa Ali kumtembelea. “Mara ya mwisho ilikuwa July ndipo niliongea na Ali, tena kupitia simu”, alifunguka Rahman.
Muhammad Ali na mkewe Lonnie
Mke wa Muhammad Ali, Lonnie amekataa kuzungumza lolote juu ya hali ya mumewe na tuhuma za Rahman.