Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Sunday, 27 January 2013

TOP 5 FIGURES

1. Kim Kardashian: Reality Star
Familia nzima ya mabinti wa Kardashian wamejaaliwa figure namba 8. Like them or loathe them (kubali au kataa), lazima tukubaliane kwamba Kim amejazia! Swali tunalojiuliza ni kuwa baada ya kujifungua atabaki na curve yake ileile?
Kim Kardashin
 2. Beyonce: Singer
Kabla na baada ya kuzaliwa kwa Blue Ivy, umbo la Beyonce, the queen of pop, limebaki vilevile. Before she was married kila msanii alitamani kuchukua chuma hiki but Jay-Z is the luckiest man. Akilia mtamu, akinuna bado mtamu, akicheka ndio kabisaaa! 
Beyonce
3. Amber Rose: Model
Curves are an understatement when it comes model, X-Kanye West’s girlfriend Amber Rose. It is said kwamba Amber appeared too much for him (Kanye). She’s pregnant too just like Kim. Lets keep an eye on her kama atabaki na umbo lake no. 8!
Amber
 4. Nicki Minaj: Singer
Eti Nicki Minaj’s ba-donka-donk inabidi ipewe its own area code. Inasemekana watoto wanachora umbo lake as they state their perfect women. Nicki is one the curvy celebrity that’s pretty fabulous in the present entertainment industry.
Minaj
5. Christina Aguilera: Singer
So what if she dresses the way she does, don’t judge her. Maybe she gets ready in the dark and doesn’t really know just how much chest and thighs she reveals each and every episode of the Voice. 
Aguilera

Saturday, 26 January 2013

MVUA YAMNYEA DAVID BECKHAM

Jana Ijumaa David Beckham alionekana akirandaranda jijini London. Tofauti na hali ya hewa ya jua huko Los Angeles,London ni baridi na mvua. Akiwa bado matembezini mara mvua ikaanza kunyesha hivyo kumfanya Beckham kuhaha akitafuta sehemu ya kujikinga.

Achana na dhahama iliyomkuta bado Becks alionekana so stylish as usual. Juu alitupia kofia almaarufu baker boy flat cap, viatu vya brown akimechisha na t-shirt yake cheki his narvy valvet jacket.

Beckham ,Vicky na familia yake wamerudi jijini London baada ya kumaliza mkataba na timu ya Los Angeles Galaxy.
Welcome back Becks!
 







Beckham akitoka nduki


TIMBERLAKE NA JAY-Z NDANI YA SUIT NA TIE

He is the mastermind behind Rihanna’s 2007 comeback track Umbrella. This time around anamrudisha tena the former ‘N Sync star, Justin Timberlake. He is Shawn Carter a.k.a Jay-Z katika mtoko mpya wa Timberlake, "Suit and Tie"! 

Ijumaa (jana), Jay and Timber walikuwa very busy wakitengeneza video ya ngoma hiyo mpya na one of the very interesting part of that video ni pale Timber anapoonekana ameshikilia mwamvuli mweupe wakati Jay akiitupia mikono yake mifukoni, kama hana habari vile!

Ni matayarisho ya albam mpya ya Timberlake iitwayo 20/20 Experience ambayo rasmi itakuwa sokoni March 19. Stay Tuned!


Timberlake & Jay-Z

Justin Timberlake




Thursday, 24 January 2013

EDEN HAZARD APAMSUA MBAVU MWOKOTA MIPIRA

Ni dakika ya 80 katika mchezo wa marudiano, nusu fainali ya kombe la ligi Capital One, kati ya Swansea na Chelsea. Winga wa Chelsea Eden Hazard,22, anafanya tukio la aibu hasa katika mpira wa miguu kwa kumbutua mwokota mipira na kumsababishia maumivu mbavuni na kuoneshwa kadi nyekundu. Dogo huyo aitwaye Charlie Morgan, 17, ni mtoto wa bosi wa Swansea, Martin Morgan. 

Hazard akiongea na Chelsea Tv baada ya mchezo alisema, "Dogo alilalia mpira na nilitaka kuuchukua mpira na haikuwa dhamira yangu kumdhuru, Niliupiga mpira na sio yeye. Naomba radhi. Dogo alikuja vyumba vya kubadilishia nguo na niliongea naye, aliniomba msamaha nami pia nilimtaka radhi" 

Swansea captain Ashley Williams, aliyekuwa karibu na tukio alisema, ‘Demba Ba alisema alimwona Hazard akimpiga dogo mbavuni. Huwezi fanya vile kwa dogo kama yule"

Chelsea manager Rafael Benitez, amesema kuwa suala hilo litashughulikiwa na klabu na tayari Hazard na dogo walikutana dressing room na kuombana msamaha. Police wa South Wales wanachunguza tukio hilo kwa umakini.


Japo Swansea walilazimishwa suluhu ya 0-0 lakini wamefuzu kwa faida ya magoli 2 ya mchezo wa awali na kuingia fainali Wembley baada ya miaka 100!


Eden Hazard katika purukushani na dogo
Demba Ba akimpoza dogo
Patashika: Captain wa Swansea Ashley Williams (katikati) aliyeshikiliwa akitaka kumzingua Eden Hazard
Red card: Eden Hazard nje
Dogo akiugulia
Dogo akipelekwa hospitali







PETER WA P-SQUARE APATA MTOTO WA PILI!

Hivi majuzi katika hospitali moja huko US of A, Peter Okoye, pacha katika kundi la P-Square alipata mtoto wa kike toka kwa girlfriend wake wa muda mrefu, Lola Omotoya. Peter aliandika katika ukurasa wake wa twitter na kutangaza mtoto wake huyo wa kike ataitwa Aliona.

Peter na Lola sasa wana watoto wawili, wa kwanza wa kiume aitwaye Cameron, 4, na wa pili wa kike Aliona! The family is now 'complete"!

Peter's girlfriend Lola Omotoya na bintiye Aliona

Peter Okoye


Peter na madaktari