Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 9 September 2013

WAKENYA WAONGOZA AFRIKA MASHARIKI CHANNEL O

Wakati show za utoaji tuzo za Channel O zikitarajiwa kufanyika Jumamosi ya tarehe  30 November huko Walter Sisulu Square, Kliptown Soweto, msanii AY pekee toka Tanzania ndiye aliyeweza walau kuingiza video yake moja ya "Paty Zone" katika categories mbili tofauti, ambazo ni "Most Gifted Male Video" na Most Gifted African East Video", video ambayo imetengenezwa Afrika Kusini na Godfather. Wakati huohuo jirani zetu Wakenya wameingiza videos 8 katika categories tofauti tofauti! 


Wapo Xtatic/Aka & Priddy Ugly, STL, Sauti Sol, P-Unit na P-Unit! Toka Uganda, Radio na Weasal pekee ndio wamewakilisha. Pengine hii ndio sababu ya baadhi ya wasanii wa Bongo kukimbilia Kenya ili kupata kilicho bora katika videos zao!

Nigeria ndio nchi iliotoa wasanii wengi kuliko nchi yoyote Afrika, wameingia katika categories 20!


No comments:

Post a Comment