Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 17 April 2013

BI. KIDUDE AFARIKI DUNIA!

Gwiji la muziki nchini Tanzania hususan taarab asilia, Fatuma Binti Baraka "Bi Kidude" hatunaye tena. Taarifa kutoka katika familia yake zinasema Bi Kidude alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Hindu Mandal amefariki leo. Bi Kidude atakumbukwa kama mwanamuziki mkongwe zaidi nchini ambaye alianza muziki akiwa na umri wa miaka 10 tu na aliwahi kupokea tuzo mbalimbali kutokana na mchango wake katika muziki wa mahadhi ya mwambao. Hakika sanaa nchini imepoteza moja ya nguzo kubwa.

Pumzika kwa amani Fatuma Binti Baraka.
 

No comments:

Post a Comment