Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 11 March 2013

MARIAH CAREY IS BACK TO THE GAME!

Kwa zaidi ya miaka miwili sasa Mariah Carey alifokas zaidi kulea watoto wake na pia kuwa jaji katika shindano la American Idol! Na sasa the diva herself is back to the business to the fullest! Mtoko mpya unaitwa 'Almost Home'. Ngoma hii pia imetumika kama soundtruck ya movie mpya, 'Wizard Of Oz'.


Albam ya mwisho ya Mariah ni 'Memoirs Of An Imperfect Angel' na ilitoka mwaka 2009. Carey, 42,  amekuwa bize sana kwa mazoezi na shughuli nzima ya kurekodi albam hii! 



Mariah Carey ameshaachia baadhi ya vipande (picha) vya ngoma hiyo na vinapatika hapa tu kwa sasa!


 


No comments:

Post a Comment