Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 16 March 2013

LIL WAYNE BADO YUPO HOI HOSPITALI!

Young Money Cash Money brother, Lil Wayne alikimbizwa hospitali hivi majuzi baada ya kuzidiwa. Hali yake ilikuwa mbaya sana kiasi cha kukutwa akiwa sakafuni chumbani kwake hajitambui. Mpaka sasa hali ya Wayne si nzuri sana licha ya ku-tweet kuwa yupo poa!


Ndugu, jamaa, marafiki na rap artistes kadhaa walimiminika hospitalini siku ya Jumatano kumjulia hali Wayne. Hali hii ya Lil Wayne inatokana na ubwiaji unga aina ya codeine uliopitiliza. Inasemekana madaktari walikuta kiasi kikubwa cha madawa hayo mwilini mwa Wayne hivyo kupelekea madaktari kuamua kuusafisha mwili wa Wayne mara tatu.

Pamoja na hayo yote jana Ijumaa Lil wayne aliibuka na ku-tweet kuwa yupo fresh na kuwashukuru fans wake kwa sala zao na upendo kwake!











No comments:

Post a Comment