Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 12 March 2013

B.I.G ARUDI DUNIANI!


Ni miaka 16 sasa toka rapper notorious B.I.G auwawe kwa risasi huko Los Angeles, California. Siku 2 kabla ya kutimiza miaka hiyo 16 watoto wake B.I.G wametangaza kutoa movie inayoitwa House of Wallace, itakayowahusu wao na baba yao B.I.G katika mfumo wa katuni!

Watoto wa B.I.G, C.J. Wallace, 16 na T'yanna Wallace, 19 ndio mastaa katika movie hiyo itakayo rekodiwa katika studio ya baba yao BIG, Brooklyn, New York, studio. 


C.J. Wallace
B.I.G a.k.a Christopher Wallace, ataonekana katika video hiyo kama mzuka hivi unaowapa mwongozo watoto wake juu ya studio yao, Brooklyn studio isichukuliwe na makampuni mengine makubwa yaliokuwa tayari kuinunua.
BIG atakumbukwa kwa ngoma zake kali kama ‘Mo money Mo Problems’ na pia ni kati ya waanzilishi wa East Coast hip hop scene miaka ya 1990

P.Diiddy never miss ishu yoyote inayomhusu mwanae B.I.G

No comments:

Post a Comment