Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 2 February 2013

JUSTIN BIEBER MVUTA BANGI


‘Baby singer’, Justin Bieber amedakwa tena anavuta sigara haramu, bangi! Picha kadhaa za JB inasemekana zimeshasambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii zikimwonyesha Bieber, demu wake na mshkaji wake Lil Ze wapasiana vipisi vya bangi huko Los Angeles, juzi Alhamis! 
Bieber na kijiti mkononi
Mwezi uliopita JB alipigwa picha akivuta ganja akiwa na rapper Lil Twist katika hotel party huko Newport Beach. 

No comments:

Post a Comment