Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 13 February 2013

DMX AKAMATWA NA POLISI!

Leo hii asubuhi rapper DMX alitiwa mbaroni kwa masaa kadhaa baada ya kudakwa na polisi kwa kosa la kuendesha gari bila leseni, huko South Carolina! DMX alipigwa pingu na kupelekwa kituo cha polisi ambako alikaa masaa kadhaa kabla ya kuachiwa huru.

Baada ya kuachiwa DMX alikiri kutokuwa na leseni, hivyo kukamatwa na polisi, kulipa pesa huku akilalamikia muda wake uliopotezwa bure. "No, I didn't have a license ... put the cuffs on me. Brought me here. I paid the money. Basically, just 5 hours wasted for nothing."

Kituko ni kuwa, kwa muda wote huo wa tukio binti yake wa miaka 5 alikuwa kiti cha nyuma cha gari la DMX!
DMX





No comments:

Post a Comment