Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 20 October 2012

JAY Z AJA NA LIQOUR BRAND YAKE IITWAYO COGNAC D'USSE


Jay-Z is truly a busy man, anataka kuwekeza kwenye kila angle.
Akiwa anamiliki familia, fashionist pia akiwa kwenye siasa bila kusahau mziki wake sasa jamaa kaamua kuwekeza kwenye liqour.
Kwa muda mrefu sasa Jiggar amekuwa na kiu ya kuwekeza kwenye biashara hiyo na kuonyesha jinsi gani alivyodhamiria wiki hii amedhihirisha hilo baada ya kuachia commercial ad ya his cognac brand called D’usse.

Angalia video ya tangazo hilo;

No comments:

Post a Comment