Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 22 October 2012

FAMILIA YA SEBASTIAN MAGANGA WA CLOUDS FM YAPATA MGENI MWINGINE


Siku ya Ijumaa ya tarehe 19 ya mwezi huu familia ya bwana Sebastian Maganga ambaye ni mkuu wa vipindi at Clouds FM ilijaliwa kumpata mtoto wa pili wa kiume aliyepewa jina la Imani.


Hongera sana Seba na wife wako kwa kujipatia kidume....


No comments:

Post a Comment