Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 6 September 2012

KITALE AJA NA SIMU YA KICHINA


Musician na pia comedian naekuja kwa kasi nchini kwa jina la Kitale ameungana na Kampuni ya Bau Entatainment ya jijini Dar es salaam kwa ajili ya kutoa filamu ijulikanayo kama 'Simu ya Kichina'.

Ndani ya filamu hiyo Kitale ameshirikiana na wenzake toka kwenye tasnia ya Bongo movie ambao ni pamoja na Kitale mwenyewe,  Ringo,Kingwendu na Mtanga.
"Ndani ya filamu hii kuna mafundisho kibaoambayo ni pamoja na ugumu wa maisha ambao unaweza kumpa mtu changamoto ya maisha ambayo yanaweza kukuletea maendeleo,vilevile ugumu wa maisha waweza sababisha tamaa ambayo yaweza kupelekea kuwa mwizi katika maisha yako na kukusababishia maisha yako kuwa magumu", Kitale.

Filamu hiyo kwa sasa ipo mtaani kwa ajili ya kuwapa wapenzi mbalimbali burudani wakiwa majumbani kwao.
Dont miss it....'Simu ya Kichina' is a must watch movie.

No comments:

Post a Comment