Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 6 September 2012

AY BALOZI MPYA WA AIRTEL NCHINI

AY(kushoto), Jackson Mmbando (meneja mahusiano at Airtel) na Hawa Bayuni (meneja huduma wa Airtel)


Ambwene Yessaya aka AY ambaye kwa sasa anahit kwenye TVs na radio airwaves with his song called  "Party Zone" amakamata dili la kuwa balozi mpya wa mtandao wa Airtel nchini akimrithi Ally Kiba aliyekuwa balozi wake msimu uliopita.
"Tumeamua kumpa dili hili AY baada ya kuvutiwa na kazi zake kwa ujumla, amekuwa msanii mwenye tunzo nyingi za kitaifa na pia kimataifa achilia mbali collabos ambazo amekuwa akizifanya na wanamuziki wa kimataifa bila kusahau shows ambazo amelkuwa akizifanya kwney majukwaa mbalimbali ya kimataifa", Jackson Mmbando ambaye ni manager mahusianao wa matandao huo.
Kwa kuanzia, AY alisema atafanyia kazi mradi wa kuchangia elimu ambao Airtel
 inashirikiana na BAMVITA.
"Nawaomba  Watanzania kuchangia mradi huo kwa kutuma neno “Vitabu” kwenda namba 15626 ambapo watakatwa shilingi 200 katika mradi huu au wengine kuchangia kwa Airtel Money kupitia namba 0788 041361", AY ambaye pia alikabidhiwa simu aina ya Samsung Galaxy Tab7.0 Plus yenye thamani ya Sh. 1.200,000
 na Mmbando, sambamba huduma zote ambazo zinalipiwa na Airtel.

No comments:

Post a Comment