Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 23 August 2012

TUKINAO NDIYE BIBI BOMBA 2012

Fainali ya lile shindano la kumsaka BIBI BOMBA lililokuwa likirushwa na Clouds TV ilifanyika jana mjengoni ambapo bibi Veronica Mpangala aka Tukinao aliibuka kidedea na kuondoka na zawadi ya shilingi milioni tano toka kwa wadhamini wa shindano hilo.

Bibi Veronica akiwashukuru wapiga kura wake kwa kumpigia kura hadi kuibuka kidedea

 
Anold (kulia) toka Zantel akimkabidhi bibi bomba mfano wa check.Katikati ni host wa show hiyo Babuu wa Kitaa.
Anna Said mshindi wa pili
Nasra Mohamed mshindi wa tatu

Finalists wa shindano hilo
Ruge akiwapongeza bibi bomba


No comments:

Post a Comment