Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 8 August 2012

SAMIR AKATAA KUJITOA KWENYA MKATABA WA RINGTONES

Msanii wa bongo fleva Samer Kassim aka Samir amekuwa msanii wa kwanza kujitokeza hadharani na kusema  hawezi vunja mkataba na kampuni inayosimamia nyimbo zake kwenye ringtone sababu bado analipwa pesa nzuri sana na bado anafaidika sana na mauzo ya ringtone ya  wimbo wake wa kwanza  "Ukipenda" uliotoka mwaka 2009 kupitia Rocker Tz Recods uliotengenezwa na producer Tris , fahamu kuwa Wimbo huo ulimpa Samer show 53 Tanzania tu na kumtambulisha katika game la bongo fleva . 

Samir alisema anaamini wasanii wote waliovunja mkataba walijipanga kwanza na kuona hio ndio njia nzuri ya kuboresha mambo yao na yeye atakaa chini na wasimamizi wa kazi zake na kuona uamuzii wao.
Kwa sasa Samir tayari anatamba na ngoma yake mpya iitwayo  "Sina Raha"

No comments:

Post a Comment