Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 23 August 2012

PREZZO IN NAIJA - ATANGAZA NIA YAKE YA KUTAKA KUMUOA GOLDIE


The Big Brother Africa star game second runner up Prezzo anataka kumuoa Goldie kama atalikubali ombi lake..
Mkenya huyu mwenye miaka 32 ambaye kwa sasa yuko Nigeria, amesema safari yake ya kutoka Kenya 'haikuwa ya kwenda kucheza nchini humo' bali ameenda ku-express hisia zake za mapenzi kwa Goldie.
Prezzo, ambaye aliwaomba Wanigeria msamaha kwa jinsi alivyom-treat Goldie kwenye mjengo wa BBA, amesema anatangaza nia yake hadharani ya kutaka kumuoa Goldie kwani hata kukutana kwao kulikuwa hadharani akiongeza kuwa yuko tayari kwa lolote ambalo litamfanya kumfanye bibie huyu kuwa Mrs Prezzo.
"Sikuwa na uwezo wa kuonyesha feelings zangu zote kwa Goldie pindi tukiwa kwenye jumba la BBA kutokana na paranoia lakini kwa sasa niko tayari kupambana ili kuishinda zawadi hii itakayo nifanya niwe mshindi halisi....
Will Goldie say YES I DO kwa Prezzo...., lets wait.

No comments:

Post a Comment