Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 23 August 2012

BREAKING NEWS: KALALA JUNIOR AREJEA TWANGA PEPETA

Kalala mwenye shades akiwa na wasanii wengine wa Twanga mapema leo

Chezea Asha Baraka wewe.
Baada ya kujeruhiwa na wamiliki wa Mashujaa Band kwa kuwachukua wasanii wake nguli akiwamo Charlz Baba, round hii Asha ambaye ni manager wa Twanga Pepeta amefanya vitu vyake baada ya leo hii kumrudisha kundini Kalala Junior ambaye miezi miwili iliyopita aliikacha band ya Mapacha Watatu alikokuwa akipiga mzigo.
Ikikumbukwa vizuri miaka michache iliyopita Kalala alijitoa Twanga na kwenda kujiunga na Mapacha Watu alikokuwa akishirikiana na kina Jose Mara na Khalid Chokoraa. 
Unaambiwa katiaka hali ya kuonyesha karudi nyumbani kwa hasira, tayari Kalala amesha-record nyimbo mbili ziitwazo  "Nyumbani ni Nyumbani" na "Ushirika ni Sawa na Koti Likikubana Livue".


No comments:

Post a Comment