Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 24 August 2012

ANA PETER WA EA RADIO AJA NA WIMBO WA " A CALL"


Mtangazaji wa show ya Power Jams ya East Africa Radio, Ana Peter ameachia ngoma mpya yenye mahadhi ya reggae iitwayo "A call".

Ngoma hii imetengenezwa na DX wa Arusha kwa kutumia beat ya riddim ya "heart & soul riddim".

"Nimeimba kuhusu kufata ndoto zetu katika maisha,kuondokana na dhana potofu kuwa maisha yana formula fulani.Shule ni muhimu sana katika kuturahisishia maamuzi maishani,Pasipo uelewa na maarifa,Maisha huonekana magumu zaidi,Matumizi ya vilevi kupita kipimo ama hata kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya yote ni matokeo ya kupuuza malengo endelevu na kufata mikumbo, anasema Ana.

"A call ni inspirational reggae song ambayo kwa haraka ni rahisi kuiweka katika category ya Gospel ambayo ni sawa pia,kwani kazi yangu kama artist, especially wa kike kuelimisha vijana wenzangu.Enjoy and support Tanzanian Music."

No comments:

Post a Comment