Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 17 July 2012

FIDSTYLE FRIDAY ON YOUR TV IJUMAA IJAYO



Hip Hop music from Tezee is about to hit the next level.

Some artist toka kwenye scene hiyo wamekuwa wakijaribu kukua kutokana na technologiainavyokua kwa kufanya online show na vingine vingi.

Baada ya kanzisha online TV yake ya Cheusi Dawa  ambayo ilikubalika kwa kiasi kikubwa hapa nchini, now Fid Q anahamia kwenye TV.

Kwa mujibu wa Fareed Kubanda ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa "Sihitaji Marafiki" Ijumaa ya tarehe 20 ataonekana kwa mara ya kwanza at EATV aki-run show yake itakayoitwa  "FIDSTYLE FRIDAY".

Ndani ya kipindi hicho Fid atakuwa akizungumzia issue mabalimbali zinazohusu Hip Hop.

Fid Q atakuwa msanii wa pili wa mziki huo kufanya show ya TV baada ya Chid Beenz aliyekuwa aki-host show yake ya "Chid Beenz" ambayo kwa sasa imefia kusikojulikana.

No comments:

Post a Comment