Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 17 July 2012

DOGO JANJA BACK TO XUL


We all remember tha sagga that happened mwezi uliopita hadi kumfanya Dogo Janja achague kurudi home kwa wazazi wake Arusha.

Haikuchukua round, Ustaadhi Juma na Musoma aliamua kumfuata kijana kwao na hatimae Dogo Janja ali-ink kuwa chini ya Mtanashati Ent. kwa ajili ya kuendeleza kipaji chake.
The good news kwa wapenzi wa Janjaro ni kuwa leo amerudi rasmi at Makongo High School anakosoma kidato cha pili.


"Namshukuru Mungu bado ananipenda mimi mwanae, yalitokea mengi yaliyonifanya niione Dar chungu kiasi cha hata kukataa kusoma hapa but kila kitu sometimes hutokea kwa sababu, narudi shule rasmi! i cant wait kuwaona wanafunzi wenzangu, walimu wangu! naahidi kusoma sana"- Dogo Janja.

No comments:

Post a Comment