Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 16 May 2013

D' BANJ ALA SAHANI MOJA NA BARNABA BOY

Wakati wasanii wa Kibongo wakihaha kutafuta michongo mbalimbali ya kuwaingiza mkwanja ikiwemo kupata haki sahihi ya umiliki wa ringtones zao na zaidi kupata mashavu ya kuwa mabalozi wa makampuni mbalimbali, huko kwa wenzetu hasa West Africa wameshapiga hatua kubwa sana katika hili.

Achilia mbali tuzo lukuki na hits anazozidondosha siku baada ya siku, neema zinaonekana bado kumdondokea artiste huyu kwani leo hii KokoMaster a.k.a D’ Banj alisaini mkataba wa kuwa balozi wa benki moja huko Naija iitwayo Bank of Industry.
Ms Evelyn Oputu, Managing Director & Chief Executive Officer of Bank of Industry na balozi D' Banj


 
Hapa Tanzania hii imekuwa hatua mpya sasa hasa kwa upande wa mabenki kuwachagua wasanii wazawa kuwa mabalozi wake na mfano hai tu ambao kidogo unaendaana na huo wa msanii kuwa balozi ni wa Barbana Boy kufanya kazi na benki ya Barclays Tanzania (japo Barnabas si balozi wa benki hiyo) lakini cha msingi ni lile dili tu kati yake na benki hiyo ambapo Barnabas ataingiza zaidi ya dola za Kimarekani 20,000/=kwa kuimba wimbo juu ya wanawake wa Kitanzania.



Tuesday, 14 May 2013

MZUNGU AWAFANYISHA NGONO WANAWAKE 11 NA MBWA WAKE

Kutoka Mombasa, Kenya mzungu mmoja aliyetambulika kwa jina la Christopher Clement Weisssenrieder  raia wa Switzeland  ametiwa mbaroni baada ya kuwafanyisha ngono wanawake 11 na mbwa wake na kuwarekodi.

Haya ndio majina yao ya wanawake hao:
  1. Janet Akoth Omollo,
  2. Mercy Waithera Karanja,
  3. Mary Nyambura Kimani,
  4. Magdaline Wairimu Chege,
  5. Celestine Nekesa Sitati
  6. Dorcus Melishah Indakwa
  7. Lydia Nyaboke Momanyi,
  8. Philidelia Mawia Solomon,
  9. Anne Wanjiku Gichuki


BEYONCE ANA UJAUZITO TENA!

Mtandao wa NY Post umeibuka na ripoti kuwa mke wa Jay Z, Beyonce anatarajia mtoto wa pili kwa kuwa sasa hivi ana ujauzito! Beyonce ambaye sasa hivi yupo katika tour ndefu ya kimuziki juzi akti alionekana kitumbo kimetokeza alipotupia kigauni akizungushia na mkanda kiunoni. Blogs mbalimbali pia zimetoa picha kadhaa zinazoonyesha vizuri eneo la tumbo la Bey kuwa sasa mabo yamejipa tayari kumpokea mtoto wa pili!


JAY Z KUPIGA SHOW DAR OCTOBA 4

Jay Z ametoa mlolongo wa shows zake atakazopiga kwa wiki 7 kuizunguka dunia kwa dhumuni la kuleta ufahamu juu ya tatizo la maji. Tour hii ndefu itaanza Septemba 9 huko Krakow, Poland. Jay Z atadondoka Dar na atagonga show hiyo tarehe 4 Octoba pale Diamond Jubilee. Na hii ndio list ndefu ya tour ya Jay Z:-


Sept. 9: Krakow, Poland (Coca-Cola SW Live Festival)
Sept. 10: Bratislava, Slovakia (Incheba)
Sept. 15: Amsterdam (Heineken Music Hall)
Sept. 16: Germany (TBA)
Sept. 18: Istanbul (Refresh the Venue)
Sept. 19: Athens (Olympic Arena)
Sept. 21: Manchester, England (Evening News Arena)
Sept. 22: Glasgow (SECC)
Sept. 23: Birmingham, England (National Indoor Arena)
Sept. 24: London (Wembley Arena)
Sept. 26: Dublin (the Point)
Sept. 27: London (Royal Albert Hall)
Sept. 29: Paris (Le Zenith)
Sept. 30: Milan (Fiera di Milano)
Oct. 2: Barcelona (Teatro Heineken)
Oct. 4: Dar es Salaam, Tanzania (Diamond Jubilee)
Oct. 6: Accra, Ghana (Accra Conference Center)
Oct. 7: Lagos, Nigeria (Ocean View)
Oct. 9: Luanda, Angola (Cine Karl Max)
Oct. 11: Cape Town, South Africa (Belleville Velodrome)
Oct. 13: Durban, South Africa (ABSA Stadium Outer Fields)
Oct. 14: Johannesburg (Coca Cola Dome)
Oct. 17: Hong Kong (TBA)
Oct. 18: Bangkok, Thailand (BEC Tero Hall)
Oct. 20: Seoul, Korea (Walker Hill Gayagum Concert Hall)
Oct. 21: Taipei, Taiwan (Taipei Dome)
Oct. 23: Singapore, Singapore (Suntec City Concert Hall)
Oct. 25: Sydney (Entertainment Centre)
Oct. 27: Brisbane, Australia (Entertainment Centre)
Oct. 28: Melbourne (Rod Laver Arena)



Thursday, 9 May 2013

LADY JAY DEE KUJIBU MAPIGO YA RUGE KESHO.

Kufuatia majibu ya Ruge Mutahaba kwa Lady Jay Dee hivi majuzi kupitia redio yake binafsi ya Clouds Fm 'Super Brand', kesho asubuhi katika kipindi cha Sunrise cha Times Fm 100.5 Lady Jay Dee a.k.a Anaconda atarudisha mapigo kwa kujibu maswali yote au hoja zote zilizowekwa mezani na Ruge. Zaidi ya hapo Jay Dee ameahidi kuibua mapya kabisa ambayo hajawahi kuyasema hapo kabla.