5 RICHEST HIP-HOP ARTISTES MWAKA 2013.
Jana Gazeti la Forbes la USA limetoa list ya wanamuziki matajiri zaidi duniani katika mziki wa Hip-Hop kwa mwaka 2013 na majina kama Jay-Z, 50 Cent, Diddy na wengine wali-top the list.
1. Sean”Diddy“Combs 
Utajiri: $580 million.
 
2. Sean”Jay-Z“Carter
Utajiri: $475 million.
3. Andre”Dr.Dre“Young 
Utajiri: $270 million.
4. Bryan”Birdman“Williams 
Utajiri: $270 million.
5. Curtis”50 Cent“Jackson 
Utajiri: $125 million.
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment