Kwa mara ya kwanza Diamond anatarajiwa 
kuonekana katika movie za Kibongo chini ya mwenyeji wake Wema sepetu 
ambaye alikuwa ni mpenzi wake wa zamani..
Filamu hiyo itakayomjumuisha Ommy Dimpoz itaitwa "CROSS OF LOVE".
Filamu hiyo itakayomjumuisha Ommy Dimpoz itaitwa "CROSS OF LOVE".
 Kwa mujibu wa chanzo chetu, movie hiyo imeandaliwa na kuandikwa na 
Seles Mapunda ambaye pia ni director wa filamu hiyo.
"Maandalizi ya filamu hiyo yapo katika hatua za mwisho kabisa na imebaki kazi ya casting ya washiriki 15 tu", Seles.
Hii ni nafasi nyingine kwa Diamond kukuza kipaji chak
"Maandalizi ya filamu hiyo yapo katika hatua za mwisho kabisa na imebaki kazi ya casting ya washiriki 15 tu", Seles.
Hii ni nafasi nyingine kwa Diamond kukuza kipaji chak
 
 

