Hard work pays.
Baada ya kufanikiwa kuwateka fashionistas wa Bongo kwa designs zake za Single Button na Vibunduki now Martin Kadinda is going to places baada ya kupata mwaliko wa kwenda kuonyesha brand zake huko New York kwenye Africa New York Fashion Week itakayofanyika August 31 mwaka huu.
"Kwa
 mara ya Kwanza Maishani mwangu nitakanyaga Ardhi ya Marekani Ijumaa 
hii, nitakuwa the only Designer Mwalikwa katika Africa New York 
fashion...... Kivumbi collection itaonekana tena ndani ya New York.. 
kivumbi collection Hiyoooo.. single button hizooo and Ofcourse Vibunduki
 teheheteetehehehhe"-said Martin Kadinda.
 

 
No comments:
Post a Comment